最新搜索

Enjoy - Jux/Diamond Platnumz.lrc

LRC歌词 下载
[00:00.000] 作曲 : RAYMOND MAZIKU/Salmin Kasimu Maengo
[00:08.830]S2kizzy baby
[00:11.990]♪
[00:16.030]Hii leo
[00:18.580]Acha tu niwaweke wazi
[00:23.060]Mubaki na mishangao
[00:25.520]Kuhusu haya mapenzi
[00:27.770]Nataka kuvaeleza
[00:32.320]Na leo
[00:35.460]Tena wahiteni paparazi
[00:39.610]Warushe kwa mitandao
[00:42.070]Siyataki mapenzi
[00:43.930]Nataka jipongeza
[00:48.560]Unaemwita your baby
[00:50.660]Kumbe nae ana baby
[00:52.210]Ooh unaemwona kipenzi
[00:55.190]Ni mshenzi hakupendi
[00:57.030]Ama kweli mtihani
[00:59.120]Mambo mengi duniani
[01:00.670]Na mi stress siwezi
[01:02.620]Ooooh siwezi
[01:04.530]Aahh
[01:05.240]Bora ni Enjoy (Mmmmmh)
[01:08.630]Maisha mafupi ni simple
[01:12.890]Yanini niteseke roho
[01:16.600]Jiunge nami upoze koo
[01:21.590]Bora ni enjoy
[01:24.960]Maisha mafupi ni simple
[01:28.960]Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)
[01:33.030]Jiunge nami upoze koo (Mmmh khoo khoo khoo khoo)
[01:38.640]Kama kupendaaa
[01:41.440]Bora nimpende mama yangu (Mmmh)
[01:46.320]Kama kupendwaa mimii
[01:50.070]Nitajipenda peke yangu (Ooooh)
[01:54.280]Kilichoniponza ufalaaa
[01:58.200]Kujiona simba kumbe swalaaa
[02:02.440]Kazama kwenye penzi uchwalaaa
[02:06.000]Badala ya kusaka miamalaaa
[02:09.680]Ail yoooo oh
[02:10.960]Toka ni date pesa (Enhee)
[02:13.270]Sa napendeza (Enhee)
[02:15.180]Na tena naenjoy (Enhee)
[02:17.530]Na wanangu ma homeboy (Enhee)
[02:19.100]Ooooh account inasoma (Enhee)
[02:21.530]Na kamwili kananona (Enhee)
[02:23.500]We mwenyewe si unaona yani (Enhee)
[02:26.230]Ai nasema boraaaa
[02:27.830]Bora ni Enjoy (Kwiri pi pi pi pi pi pi)
[02:31.340]Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)
[02:35.540]Yanini niteseke roho
[02:37.410](Yanini niteseke rohoo)
[02:39.460]Jiunge nami upoze koo
[02:41.880](Jiunge na mimi ah)
[02:44.360]Bora ni Enioy (Kwiri pi pi pi pi pi pi)
[02:47.990]Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)
[02:51.970]Yanini niteseke roho (Aaahh iveeeeiii ve)
[02:56.250]Jiunge nami upoze koo (Jiunge na mimi ah)
[03:00.880]Napenda nikilewa
[03:02.640]Nipande juu va meza
[03:05.620]Minjonjo
[03:06.520]Huku natema kingereza
[03:09.180]Tupande juu ya meza
[03:11.070]Tupande juu ya meza
[03:12.940]Tupande juu ya meza
[03:14.660]Za za za za za
[03:17.850]Bora ni Enjoy (Kwiri pi pi pi pi pi pi)
[03:20.840]Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)
[03:25.200]Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)
[03:29.360]Jiunge nami upoze koo (Ooh khoo khoo khoo khoo)
[03:33.210]Kamix Lizer
[03:35.970]♪
文本歌词
作曲 : RAYMOND MAZIKU/Salmin Kasimu Maengo
S2kizzy baby

Hii leo
Acha tu niwaweke wazi
Mubaki na mishangao
Kuhusu haya mapenzi
Nataka kuvaeleza
Na leo
Tena wahiteni paparazi
Warushe kwa mitandao
Siyataki mapenzi
Nataka jipongeza
Unaemwita your baby
Kumbe nae ana baby
Ooh unaemwona kipenzi
Ni mshenzi hakupendi
Ama kweli mtihani
Mambo mengi duniani
Na mi stress siwezi
Ooooh siwezi
Aahh
Bora ni Enjoy (Mmmmmh)
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho
Jiunge nami upoze koo
Bora ni enjoy
Maisha mafupi ni simple
Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (Mmmh khoo khoo khoo khoo)
Kama kupendaaa
Bora nimpende mama yangu (Mmmh)
Kama kupendwaa mimii
Nitajipenda peke yangu (Ooooh)
Kilichoniponza ufalaaa
Kujiona simba kumbe swalaaa
Kazama kwenye penzi uchwalaaa
Badala ya kusaka miamalaaa
Ail yoooo oh
Toka ni date pesa (Enhee)
Sa napendeza (Enhee)
Na tena naenjoy (Enhee)
Na wanangu ma homeboy (Enhee)
Ooooh account inasoma (Enhee)
Na kamwili kananona (Enhee)
We mwenyewe si unaona yani (Enhee)
Ai nasema boraaaa
Bora ni Enjoy (Kwiri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho
(Yanini niteseke rohoo)
Jiunge nami upoze koo
(Jiunge na mimi ah)
Bora ni Enioy (Kwiri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (Aaahh iveeeeiii ve)
Jiunge nami upoze koo (Jiunge na mimi ah)
Napenda nikilewa
Nipande juu va meza
Minjonjo
Huku natema kingereza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Tupande juu ya meza
Za za za za za
Bora ni Enjoy (Kwiri pi pi pi pi pi pi)
Maisha mafupi ni simple (Kirii ka dakitka)
Yanini niteseke roho (Ooh yanini yanini)
Jiunge nami upoze koo (Ooh khoo khoo khoo khoo)
Kamix Lizer